Wataalamu wa Maabara kutoka Nchini China wakilembelea Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu Zanzibar kwa lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kuimarisha uhusiano uliokuwepo.
Mkurugenzi Idara ya Kemikali na Mazingira Nd. Ussi Makame Kombo akitoa Mafunzo ya Wadau wakubwa wa Matumizi ya Kemikali.